Watumishi wa Mamlaka...
Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tabora (TUWASA) wameshiriki maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi-2025
01 May, 2025
Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tabora (TUWASA) wameshiriki maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi-2025

Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tabora (TUWASA) wameshiriki maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi yaliyofanyika kimkoa  Uwanja wa Samora Wilayani Nzega.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wote wa TUWASA tunawapongeza watumishi watatu waliokua wafanyakazi hodari kwa mwaka 2025.

Wafanyakazi hao ni Bw.  Mrisho M. Mdumla - Fundi mchundo mwandamizi (Kushoto), Bw. Evans E. Binya - Meneja wa  kanda ya Sikonge (Katikati), na Bi Sarafina S. Rwezimula - Mwendesha Mitambo.