Maadili ya Msingi

Katika kutoa huduma bora, TUWASA inaongozwa na Maadili ya Msingi yafuatayo:

  1. Kujitegemea na usawa
  2. Uwezo wa kitaaluma
  3. Uadilifu
  4. Ubunifu na Uvumbuzi
  5. Inayozingatia Matokeo
  6. kufanya Kazi kwa Pamoja