Miradi inayoendelea

MIRADI

Na

JINA LA MRADI

MKANDARASI

GHARAMA ZA MRADI

MAENEO YANAYOHUSIKA

% YA UKAMILIFU

1.

Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Kutibu Majitaka

 

PERITUS PRIVATE EXIM

 

1,613,830,289.76

 

Manispaa ya Tabora

 

54

2.

Mradi wa ujenzi wa Bomba kuu la kutoa maji Igombe hadi Tenki la Itumba katika Manispaa ya Tabora

 

HELP DESK ENGINEERING TANZANIA LTD

 

23,786,325,372.16

 

Manispaa ya Tabora

 

6.3

3

Mradi wa ukarabati wa bomba kuu kutoka Utyatya hadi Tenki la Mission Sikonge

KABANSORA CONSTRUCTION COMPANY

976,066,880.00 

 

Sikonge

 

 

92

4.

Upanuzi wa Mtandao wa maji katika kata za Ikomwa, Uyui, Masimba na Upimbili - Ulamba

 

MAPATO YA NDANI

 

500,000,000.00

 

Ikomwa, Uyui, Masimba, Upimbili na Ulamba

 

86.8

5.

Uboreshaji wa huduma ya maji katika mji wa Sikonge

 

MAPATO YA NDANI

 

1,593,425,000.00

 

Sikonge

 

50

6. Mradi wa ujenzi wa bomba la usambazaji maji hdpe 110 MM kutoka tanki kuu la Muungano kwenda Mjini Urambo

 

MAPATO YA NDANI

 

   906,200,000.00

 

Urambo

 

72

7 Mradi wa bomba la usambazaji maji HDPE 110 MM kutoka Magere kwenda Mjini Kaliua

 

Kikundi cha Kijamii cha Nguvu kazi Plumbers

 

1,257,050,000.00

 

Kaliua

 

38.8

8 Mradi wa Uchimbaji wa Visima Vitatu na kuviendeleza Sikonge

 

RUWASA

 

232,650,000.00

 

Sikonge

 

50