UFUNGUZI WA MRADI WA MAJI WA ZIWA VICTORIA
RATIBA FUPI YA WAZIRI WA MAJI MHE. JUMAA H AWESO YA KUMTAMBULISHA MKANDARASI ANAYEJENGA MRADI WA MAJI YA ZIWA VIKTORIA WILAYA YA KALIUA NA HAFLA YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI KALIUA TAREHE 29 JULAI, 2023.
|
NA |
MUDA |
TUKIO/MADA |
MHUSIKA
|
|
1 |
03:00-3:45 |
Wageni kuwasili eneo la tukio
|
Wote/MC
|
|
2 |
03:45-4:00 |
Utambulisho
|
DAS/RAS/MC
|
|
3 |
4:00-4:15 |
Neno la utangulizi |
MENEJA RUWASA(M) |
|
4 |
04:15-4:45 |
Salamu za viongozi |
Mwenyekiti CCM(W), Katibu CCM (W), Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Mbunge wa Jimbo la Ulyankulu, M/Kiti H/W, DED, Viongozi wa Chama na Serikali |
|
5 |
4:45-5:00 |
Burudani |
KINA MAMA KAZAROHO |
|
6 |
05:00-5:10 |
Taarifa ya Mradi wa maji Kaliua
|
MKURUGENZI TUWASA |
|
7 |
05:10-5:20 |
Kukagua na kuweka jiwe la msingi |
Mhe. Waziri wa Maji
|
|
8 |
05:20-5:25 |
Burudani |
KIKUNDI CHA NGOMA |
|
11 |
5:25-5:40 |
Neno kutoka kwa Mhe. Mkuu wa Wilaya na Kumkaribisha Mhe. Mgeni Rasmi |
Mkuu wa Wilaya |
|
12 |
5:40-6:10 |
Hotuba ya Mgeni Rasmi na kutambulisha Mkandarasi anayejenga mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kuja Kaliua
|
Mhe. Waziri wa Maji
|
|
13 |
6:10-6:20 |
Neno la Shukrani na Kufunga Hafla
|
Mwenyekiti wa kijiji cha Kaliua Mashariki |
|
14 |
6:20-7:00 |
Kuelekea Urambo |
Wote |

