UFUNGUZI WA MRADI WA...
UFUNGUZI WA MRADI WA MAJI WA ZIWA VICTORIA
27 Jul, 2023 07:00 AM - 12:30PM URAMBO
UFUNGUZI WA MRADI WA MAJI WA ZIWA VICTORIA

RATIBA FUPI YA WAZIRI WA MAJI MHE. JUMAA H AWESO YA KUMTAMBULISHA MKANDARASI ANAYEJENGA MRADI WA MAJI YA ZIWA VIKTORIA WILAYA YA KALIUA NA HAFLA YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI KALIUA TAREHE 29 JULAI, 2023.

NA

MUDA

TUKIO/MADA

MHUSIKA

 

1

03:00-3:45

Wageni kuwasili eneo la tukio

 

Wote/MC

 

2

03:45-4:00

Utambulisho

 

DAS/RAS/MC

 

3

4:00-4:15

Neno la utangulizi

MENEJA RUWASA(M)

4

04:15-4:45

Salamu za viongozi 

Mwenyekiti CCM(W), Katibu CCM (W), Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Mbunge wa Jimbo la Ulyankulu,  M/Kiti H/W, DED, Viongozi wa Chama na Serikali

5

4:45-5:00

Burudani

KINA MAMA KAZAROHO

6

05:00-5:10

Taarifa ya Mradi wa maji Kaliua

 

MKURUGENZI TUWASA

7

05:10-5:20

Kukagua na kuweka jiwe la msingi

Mhe. Waziri wa Maji

 

8

05:20-5:25

Burudani

KIKUNDI CHA NGOMA

11

5:25-5:40

Neno kutoka kwa Mhe. Mkuu wa Wilaya na Kumkaribisha Mhe. Mgeni Rasmi

Mkuu wa Wilaya

12

5:40-6:10

Hotuba ya Mgeni Rasmi na kutambulisha Mkandarasi anayejenga mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kuja Kaliua

 

Mhe. Waziri wa Maji

 

13

6:10-6:20

Neno la Shukrani na Kufunga Hafla

 

Mwenyekiti wa kijiji cha Kaliua Mashariki

14

6:20-7:00

Kuelekea Urambo

Wote